Siku mbaya kwa taifa na wanainchi wa zimbabwe kwa mkuu wa nchi kufanyiwa jaribio la kuuawa.
Tetesi tayri mzee baba mgabe yuko kizuizini katika kambi ya kijeshi.
Huku mkewe akitafutwa kwa galama yyte.
Nimeambatanisha Na videoclip ya mlipuko wa bomu hapo chini.
majenerali wanatafuta sababu ya kuchukua nchi
Hali ni tete kwa sasa.msako ni mkubwa mno
Kumekucha Africa
Mugabe hatari sana!!
hv uchaguz si upo krbu…! na huyu si ndo juzi kapanga foleni kwa mgahawa kupata lunch…
yajayo yanafurahisha
Mkuu unaweza kubadili hii avatar yako?
Mz
ee wa mipango
Nikweli kabisa mzee baba anapunguza upinzane mapema
Hapo kiongozi hiyo details ya Rais ndio awe wa kwanza kuchunguzwa ni uzembe mkubwa sana huo sioni adhabu zaidi ya kumpa hapo
Ntafanya ivyo mkuu
[quote=“Gideone, post:10, topic:164666”]
Hapo kiongozi hiyo details ya Rais ndio awe wa kwanza kuchunguzwa ni uzembe mkubwa sana huo sioni adhabu zaidi ya kumpa hapo
[/QUOTE
Anatakiwa akamatwe nae pia!! Kwa hili[/QUOTE]
African politics
Yes!!!
Nmecheka mpaka walinzi wenye mabunduki wametoka nduki chezea kifo!!!
Amepona lkn kma limepiga eneo alipo!!
Nao wana moyo kama sisi tu!! Kifo nouma
jiwe ajiangalie… atapata tabu sana
Tena sanaaaaa ajiangalie sms sent
Yuko salama na mwenye afya.