255
November 6, 2025, 11:51am
1
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DK. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Shirikisho la Urusi Mhe. Vladimir Putin, Mhe. Sergei Kiriyenko, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 06 Novemba, 2025.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mhe. Sergei Kiriyenko, Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Shirikisho la Urusi Mhe. Vladimir Putin mara baada ya kuwasili Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 06 Novemba, 2025.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mhe. Sergei Kiriyenko, Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Shirikisho la Urusi Mhe. Vladimir Putin, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 06 Novemba, 2025.
255
November 6, 2025, 1:07pm
3
255
November 6, 2025, 2:14pm
5
dingoo_wa_ingoo:
Damn, Sergey bado yupo?
dingoo_wa_ingoo:
Damn, Sergey bado yupo?
Russia haitumi watu wake ovyo ovyo mpaka kuna mahusiano ya kweli
1 Like
umepotea siko kadhaa mdau tumekutafuta sana. Tulidhani ulipigwa risasi ya samia
Mama amewafinya makende, sasa mwanaume bwege unamfanya rimming na ma cj mpaka ulimi wako ume fura
4 Likes
Ng’ombe ni ng’ombe tu.
1 Like
Kati yangu na wewe nani akaribishe mwengine humu?
255
November 6, 2025, 6:45pm
17
NairobiWalker:
…
255:
…
NairobiWalker:
Ng’ombe ni ng’ombe tu.
NairobiWalker:
KiberaWalker, karibu
Kati yangu na wewe nani akaribishe mwengine humu?
Karibu haina nani akaribishe mwenzake. Atakayekuja baadaye kwenye eneo anakaribishwa hata kama yeye ni mwenyeji wa eneo hilo.
Kuna shida hapo? Unataka kukuza mambo madogo madogo wakati kuna hoja ipo mezani ya msingi.
255:
…
NairobiWalker:
…
255:
…
NairobiWalker:
Ng’ombe ni ng’ombe tu.
NairobiWalker:
KiberaWalker, karibu
Kati yangu na wewe nani akaribishe mwengine humu?
Karibu haina nani akaribishe mwenzake. Atakayekuja baadaye kwenye eneo anakaribishwa hata kama yeye ni mwenyeji wa eneo hilo.
Kuna shida hapo? Unataka kukuza mambo madogo madogo wakati kuna hoja ipo mezani ya msingi.
I joined this forum in 2015. Wewe uliingia lini?
255
November 6, 2025, 6:56pm
19
NairobiWalker:
…:
…
255:
…
NairobiWalker:
Ng’ombe ni ng’ombe tu.
NairobiWalker:
KiberaWalker, karibu
Kati yangu na wewe nani akaribishe mwengine humu?
Karibu haina nani akaribishe mwenzake. Atakayekuja baadaye kwenye eneo anakaribishwa hata kama yeye ni mwenyeji wa eneo hilo.
Kuna shida hapo? Unataka kukuza mambo madogo madogo wakati kuna hoja ipo mezani ya msingi.
I joined this forum in 2015. Wewe uliingia lini?
Sasa hilo linahusiana na nini kusuhu majadiliano haya?
255:
…iWalker:
KiberaWalker, karibu
Kati yangu na wewe nani akaribishe mwengine humu?
Karibu haina nani akaribishe mwenzake. Atakayekuja baadaye kwenye eneo anakaribishwa hata kama yeye ni mwenyeji wa eneo hilo.
Kuna shida hapo? Unataka kukuza mambo madogo madogo wakati kuna hoja ipo mezani ya msingi.
I joined this forum in 2015. Wewe uliingia lini?
Sasa hilo linahusiana na nini kusuhu majadiliano haya?
Huna mamlaka ya kunikaribisha humu.