RAIS MAGUFULI: TARIHI 1

Hamjambo wakenya, naitwa ULole nami ni mdau wa Tanza. Natoka hapa kwenye forum ya great thinkers ama ujulikanavyo Kama jamii forum.
Baba mkuu Magufuli anatabasamu sana kumwona rafiki yake kipenzi Kagame akisalimia. RAIS John Magufuli na Paul Kagame, Rais wa Rwanda wamekutana kwenye uzinduzi wa Daraja la Rusumo na kituo cha huduma.

[ATTACH=full]46809[/ATTACH] [ATTACH=full]46808[/ATTACH]

NV Meffi
[ATTACH=full]46810[/ATTACH]

Umetokea Tanga upande mgani? Nina maswali machache ya kuuliza kwa nia kudhibitisha kuwa wewe ni Mtanga.

Hii forum yenyu yanichenga. Am getting familiar with it. Mkuu Mimi wa hapa shinyanga

geza ulole ndiye wa jamii forum na sio gaza ulole

Wacha Maghufuli Atahiri tu!!, Sisi hatuna shida wala bukhdha!!

Huyo simjui.

Mkuu it’s not tahiri. It’s tarihi or we can say diary. I know English little but I can talk with you. Tunaeza ongea hata lugha ya kimataifa

Do you know what we did to the last idiot who came here to sing magufools praises?

RIP Osungu!!

Nieleze. Talk to me

Mdau karibu. Usitishwe na hawa mafadhela. Chapa kazi. Mdau hawa watu wa vodacom dah wanashukisha intaneti from 4 g to 3G . Usenge kweli.

We hang him by his balls…yaani tulim ning’inia na mayai nyeti zake…he he…

Mkuu jaribu Tigo. It’s cheap and 4g mchanakutwa. Mi mtulivu sina pumzi la vita

Sina vita na nyi. Sisi watu wa tanza watulivu. Hata nilisoma huko kwenyu chuo kikuu. I am just like you educated and open minded. I will teach you about Rais wetu and you will teach me too

sasa nyinyi mamwehu mmekuja kupeana tigo hapa?!. hebu msiambukize Wakenya wachapa kazi ushoga wenu

wewe ni kibarakala?
wewe ndiye Thirman wa MakuFool? (word of advice: ukiona article ya NewYork times on MakuFool don’t bother replying)

Watuambia ndio tufanyeje??? Peleka ushenzi Jamii forum Nyoko mdaku wewe.

Wamjua? Kweli wakenya pia wanatupendana. Tufuateni

[ATTACH=full]46813[/ATTACH]