Mkufuu
October 24, 2015, 6:43pm
1
Oya wanakijiji leo msilale mapema wala msile chochote nawatayarishia chakula murua. Hivi sasa niko jikoni makaa yashawaka moto na chakula kitaiva midaa ya saa sita za usiku. Msije mkasema eti mkufuu hakuwaalika maankuli, eti ooh mkufuu ni mchoyo. Vuta subira hadi saa sita hivi nitakupakulia vya utamu. Kama hujaonja chapati za malenge ya aina ya butternut njoo nikupe…kama bado haujamwonja pwenza karibu sana kwangu nikupe kipande. Kama wewe mwanadada na hujui kutayarisha hivi vyakula njoo kwangu utayapata hata mafunzo ya unyagoni. Nawe @pamba kabla hujakuja hapa kurusha maneno makali makali jua leo mimi si mahabusu tutamenyana. Haya wacha mie nirejee jikoni.
[ATTACH=full]19017[/ATTACH]
#112
8 Likes
KISWAHILI ITAKUUWA SIKU MOJA WEE MKAMBA
9 Likes
I can see the asshole on that thing
1 Like
system
October 24, 2015, 6:56pm
5
lol @Unicorn can you prepare this?
no comment juu sipendi kusema kama ango…
2 Likes
BTW CHAPATI ZA MALENGE NI GANI SIJAWAI KULA
Thanks for the offer I’ll have to pass … Was wondering where I had seen such an eeky image… then I just saw your Avatar;)
2 Likes
one thing i miss about msa is the food godamnit …viazi karai na ukwaju, biriani, na kadhalika
1 Like
WuTang
October 24, 2015, 7:40pm
10
Mkufuu:
Oya wanakijiji leo msilale mapema wala msile chochote nawatayarishia chakula murua. Hivi sasa niko jikoni makaa yashawaka moto na chakula kitaiva midaa ya saa sita za usiku. Msije mkasema eti mkufuu hakuwaalika maankuli, eti ooh mkufuu ni mchoyo. Vuta subira hadi saa sita hivi nitakupakulia vya utamu. Kama hujaonja chapati za malenge ya aina ya butternut njoo nikupe…kama bado haujamwonja pwenza karibu sana kwangu nikupe kipande. Kama wewe mwanadada na hujui kutayarisha hivi vyakula njoo kwangu utayapata hata mafunzo ya unyagoni. Nawe @pamba kabla hujakuja hapa kurusha maneno makali makali jua leo mimi si mahabusu tutamenyana. Haya wacha mie nirejee jikoni.
[ATTACH=full]19017[/ATTACH]
#112
Hizo number za hashtag ni za nini? Count down to what?
bouss
October 24, 2015, 7:40pm
11
How true is it eti pweza inaongeza libido. Ama hizo ni story za waswahili
WuTang
October 24, 2015, 7:41pm
12
But the portions served in hotels there are very small.
Web_Dev
October 24, 2015, 7:43pm
13
Can’t wait to see the final thing.
danji1
October 24, 2015, 8:21pm
14
Nangoja matokeo lakini huyo pweza, hiyo sura inatisha mno.
Nimejua leo that pweza ni octopus.
@uwesmake kama umewahi kula chapati ya Uchumi, umekula butternut chapati.
1 Like
system
October 24, 2015, 11:05pm
18
It’s not about me at the moment. It’s about @Mkufuu .
Another reason why @Mkufuu makes my clit tingle…
4 Likes
^^^^You have a clit? Wakanyama, LETA NJORA TUKATE HII!!!
3 Likes