:D:D
Kale ka-team… Ngoja nimalize kucheka :D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D
1-1 draw at home na stoke. The last time stoke picked up a point at old trafford was in 1980.
Pogba’s fee is like 3 stoke city teams. Pogba pekee. :D:D. Napenda sana, in Mourinho we trust GGMU!
Meffi saitan ghasia takataka bet yangu imeungua.
Pale kwa prediction so far ni Chelsea imeingiana o_O
Hata mimi hizo maraya za Truffled zimenimalizia bet ya O2.5 ikiwa imebakisha games tatu:mad::mad:
Niaje @Mzee mzima kwani na tuliambiwa defenders watakuwa wanacheki Ibra, Pogba na Rashford wakiwa kwa box wanafreeze; inakaa hawa wa Stoke hawakupata memo:D:D:D
Inakaa leo miti inatereza, man city pia wako in the process ya kukamuliwa.
Almost half time 1_0 to Tottenham.
hahaha
nachekea hii statement plus avatar
Am not making pg 1 today.
Lakini naja
Wonder what uwesmakei uses?
Kwani alienda tz
kelele tagatagah…#mzee nusu
Kwa games zote?
@Deorro endelea na machungu
HEHEHEHEHEH wajinyonge na big g , manchieth
Mimi jana Bayern kunitoa msee.
Big_G
October 2, 2016, 2:12pm
14
hehe napenda sana,kuna ‘Wananchi’ wanakamuliwa pale white hot lane
system
October 2, 2016, 2:13pm
15
meffi wewe. Wenger will never win EPL
Hehehehe…
jana nililenga bigwigs zote, leo nikajichocha niekelee hadi napoli, saa hii naona Napoli imekaliwa chapo; lakini hata haina use…
That avatar can bring a smile to anyone!
We should have won, Ibra alitupa atleast 2 goals. Atleast the perfomance was alot better today, you can see the team gel, moves zinaclick, great chances were created finishing tu ndio iko chini.
We should have won, Ibra alitupa atleast 2 goals. Atleast the perfomance was alot better today, you can see the team gel, moves zinaclick, great chances were created finishing tu ndio iko chini.
Wacha excuses msee, uliona your previous match?