Purple alienda wapi?

where is @Purple ?
And since purple’s disappearance, thread za kuosha macho hazing’olewi…
Mtu aoshe sisi macho na kienyeji moja

Nilimuoa akiwa Bibi wa NNE na nikampeleka kwa shamba afanye ukulima.

Ndio hio…[ATTACH=full]237283[/ATTACH]

I miss @aviator, aka mrs muriithi …mkimuona mwambieni tupatane sportsview for a cold Guinness

Banaa huyo mama alikuom Kama ameshika manki avicii ,poshomill manager na sqny makende na aka declare hata pedicure ni nudes , hata akidedi siwezi mind tumeumia sanaaaa

Hako Ka mama kalikuwa kamekatwa from same cloth na Martha karua na Aisha jumwa. Moto ya kuotea mbali iko siku kamenitupa Siberia maximum.

Ukachunishwa skuma na @Panyaste ?

Mimi nilikuwa VIP section yaani nilikuwa under house arrest. Huko @Panyaste, @Mfalme Bingwa Scrotum na @Motokubwa kukunia kwa ndoo ndio ilikuwa order of the day. Pia nilikuwa naskia walikuwa wakibonyezana vinyambis.

Na wasee mko na flavor bana …hi naweza ngonga kaa band ya jeshi :smiley:

Ii hekaya ianguke in full

Plot twist…Purple=Uhuru Kenyatta. Haven’t you realised pia Uhuru is missing in action. Tangu aende China haonekani. Alafu pia social media handles alidelete.

Bro, Niko kwenye mfungo

Pia huyu naye alienda wapi @SaltyLight

That calabash must have a clonning effect… Niki angalia right najipata left

Somali Umbwa hakuna bro wako hapa

Mtu wako ako, juzi alichangia ideas kwa ile thread ya civil servants. Pia anasupport revolution chini ya maji.

Nowadays watu wamechoka na ktalk… @Purple, @pseudonym @Mathaais @teamtalk @luther12

[ATTACH=full]237292[/ATTACH]

[ATTACH=full]237293[/ATTACH]

Wishing a happy Ramadhan. Saumu inakupeleka aje.