NOTICE NOTICE!!! #SONKO help me find my mum… i was born at pumwani 3yrs ago then after masaa matatu i was told my mum can’t be found… sasa kenye inahappen hii pumwani sijui could it be she was trafficked ama alikaa nyasi. Mum wherever you are come back niko 27yrs sasa
Hahaahha hii animation iko na bangi walai…
Na ndio una hii upuus yote ?? Wewe ungekuwa hata mapera hakuna mtu angekuangalia…
Nipatie ile SF5 yako nikuambie kule yuko
Shika
Aty mapera? Fafanua
Akiona hii post ataita crew yake…
[ATTACH=full]194072[/ATTACH]
Kwani huu msee ni fala aje… si achungulie na ndo amemulikishwa joh…
@saMosa chyeth deh!
Ati 3 yrs ago,alafu after 3 hrs,wakakuambia.Tena uko 27 yrs,
hapo tu sawa nani.
Wewe tu ndo uko rada brathe
:D:D:D:D:D hii sijawai ona. Why lie.