Vile wageni mashughuli wanakuja kuona jambass sugu take power when crying, watu wa protocol wanataka kuwa kadere wa gari yako incase you lease it for protocol. Ukiwaambia gari inakuja kadere wananugunika sana, problem is how they drive the cars when they get them utarudishiwo gari imeendeshwo kama mwenda wazimu kufikisha mgeni mashughuli point A to B to C
Ukipea watu wa siasa gari,hio lazima irudi kama scrap. Ulioni ile kazi walifanyia mbeast ya UDA, saa hii iko juu ya mawe.
Since most CS’s hawao job wachukue hizo prado na landcruiser zao watuimie but Wakenya ni wale wale lazima every opportunity ikue ya kunukisha kitunguu
Protocol vehicles are GoK Ministry Foreign Affairs. Any way gari inakuja na kadere, wapende wasipende.