Professor Jay na Jay

Nduru za kuaminika ni kwamba Professor J amechaguliwa kuwa mbunge. Alitoa kazi hizi akiwasuta wanasiasa kwa ahadi za uwongo. Tuone atafanyaje atakapokwenda bunge:

https://www.youtube.com/watch?v=pQwk0gjpSGU

https://www.youtube.com/watch?v=FjZUK_L4ZB8

As for the other Jay, yule wa hiki kijiji, I doubt he would be elected to the local cattle-dip committee.

5 Likes

He’s currently heading the upussy committee.

6 Likes

Enyewe I’d like to see what Prof does.

@kyuktothecore

Hapo sawa!..Amepata kura kutoka kindergarten mpaka chuo kikuu, downtown kwa machizi na masistaduu, magharibi mpaka nyanda za juu, kando ya ziwa, kaskazini mpaka eastyzu… Prof Jay sasa ni mbunge mteule wa mikumi katika mkoa wa Morogoro.

9 Likes

Its nyanda [highlands]:D:D:D:D:D

5 Likes

Hehehe hapo kidole kiliteleza…wacha nikosoe Akhsante.

Mkufuu nisaidie na ile avatar ya awali.

‘local cattle dip committee’

Matusi unayo boss…

buda naona yule madam wako kwa avatar amejiona kwa kioo akaona ni heri ajitoe huo uso?

MKAMBA WETU NA OSAWHILI :D:D:D:D:D:D

2 Likes

:D:D:D:D

1 Like

niaje my dear

SINA NENO ANKO. NAONA KISWAHILI KIMEPIGA MKAMBA WETU CHENGA.

2 Likes

Swahili jpg

Hapa kwetu Newton Karish ni MCA

1 Like

[ATTACH=full]19533[/ATTACH]

Yaani couldn’t you stop to ask yourself why that word is the only one typed in italics?

;).Makosa yamefanyika. It has to be pointed out.

I am trying to point you away from ignorance. Lakini ni kama kupuliza gunia.

Hehehehe. Sawa mwalimu,umetoka kuinvigilate wapi?

kupuliza gunia.
[/QUOTE]

Naokotwa tena kwa drum.