POPO

Nani mwingine amekodoa macho kama popo? Je wafanya nini usiku wa manane?

[ATTACH=full]14979[/ATTACH]

ni mimi. nasoma post yako…

3 Likes

WACHA KUTYPE KIKAMBA

3 Likes

Mimi nimepitia tu katika raundi zangu mwenda kwenye kijiji. Night running in the village paths is fun…no one to bother me

1 Like

Macho yamechoka kabisa asante lakini.

1 Like

@gashwin wewe ni supporter wa chelsea? I might be joining you soon

http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/09/11/01/2C16A3D500000578-0-image-m-49_1441929787290.jpg

1 Like

@Mundu Mulosi is it true ati night runners hunyambia milango za watu usiku?

2 Likes

ENDA KWA CHOO MADAM

GROW UP. SAITAN

1 Like

Kwa ufupi unataka kumaanisha Mundu ni Night Runner? :D:D:D:D:D:D

Urongo yako.

Mi niko hapa nikisaka unga.

:D:D:D:D:D

karibu, it’s the greatest club in the world, on and off the pitch…

he he, kijiji hakisahau, wala hakipotezi nafasi ya kukumbusha mtu embarassment…

1 Like

sasa sweetie…ebu niite shetani ni furahi :slight_smile:

1 Like

:D:D:D:D:D:D:D:D:D

Anko @uwesmake si unaona watu wa bandos za ofisi wamekuamkia

2 Likes

hehehe…
saitan talks to their fellow saitans.
uwes=carbon=unicorn.
i am trolling si hapo ndipo kijiji imefikishana?

Kwa upana “mundu mulosi” means “night runner” in luhya language… @Mundu Mulosi can correct me if am wrong. So @Unicorn that explains why @uwesmake is bitter when you mention what they (read Uwes and Co.) do coz as the say you cant take a person out of the village and not the village out of someone… Am sure milango za nyumba huko kayole ziko na skid marks za minyambo courtesy of you know who…

2 Likes