Police Recover 230 Stolen Phones

Police recover 230 stolen mobile phones, 10 cameras, 15 laptops and 12 tablets during a police operation in Nairobi’s Central Business District (CBD)…

[ATTACH=full]155995[/ATTACH]
:D:DSeriously…just take a look at the phones.
[ATTACH=full]155996[/ATTACH]

Niliona hio story nikashangaa yaani hawa watu wako na 10 cameras and over 200 phones and 15 laptops hao watu ni hatari. Hizo camera pengine waliibia tourists

hakuna smartphone hapo?

Do I see a couple of 3310s?
10 years too late this operation :smiley:

Kumbe hawa wasee ndio waliibia 3310 yangu ata kwa TV niliona Mwas mwenye alikuwa anataka kunidunga. I hope akienda jela atadungwa or a big guy makes him his bitch

Sioni simu naeza tumia hata wahed.

Hizi zinakaa scrape zimeokotwa kwa wale mafundi wa simu

Hawa walienda kwa fundi wa simu tao wakachukua mamatumbo zote tu kuja kudisplay hapa

Hizi ni zile police labda wanacollect over the years so they can unleash to the media after a bout of criticism, “mnasema hatufanyi kazi, si mnaona tunafanya kazi?”

Either that or they pocketed all the modern models first before this display.

Are they trying to say a dragon snapped all these useless phones?

Must have raided a fundi wa simu mahali

:slight_smile:

Hehehe…
Hizo ni zenye hazitembei…dead stock…

after defying court orders and looking useless and tainted they are starting PR to look like they are working

:D:D wewe ni old school.

18 years too late… Those models were in the market around late 1990s and early 2000…

Githeri media have dug from there archive again this photo was taken many years ago CSI kujeni kidogo.

this cops just visited some phone repair shops and took every thing… SMH

Na kwani waliibia fundi wa simu??
Hizo simu hata mtoto wa class 1 haezi tumia
:D:D:D:D:D

Mpaka Motorola V20 zile za flip? Media imejaa fake stories.