Police officer shoots dead his spouse

Police officer shoots dead his spouse then commits suicide in suspected domestic quarrel at Piave area in Njoro, Nakuru County
[ATTACH=full]206315[/ATTACH]

Why do people get married to people they don’t love?

at first there was love then somehow inaisha

noma… but hizi makofi watu hupigana when they have domestic quarrels could easily be turned into gun shots if people had guns at home.

my biggest fear ni kuoa and then you start hating each other ama tumadharau kidogo kidogo!

Hio si love but

That’s not love but lust.

kwani hujaoa,tuoe bana tu deal na hizi vitu mapema mapema,nime realize its a phase one has to go through.Lakini omba usipate mwenye anawazimu kuruka

Once you stay in a relationship for long enough you realise those craps about love are vanity, what you have together is a life partner anything else is out of care and gratitude .

Most likely a senior cop was chewing the mwoman and when officer questions her anatupiwa kaneno. Kuna kaneno man’s anaweza tupiwa hata unajiambia kama mbaya mbaya. Imagine afisa aliwacha pesa ya sukuma na ugali alafu kuja home anapata wife amepika maini fry… When asked hii pesa ilitoka wapi… Unaambiwa mbona usikuwe kama wanaume wenzako kama OCPD Rono… Eeeeh yeye ndio amenunua hio maini fry

Admin pandisha huyu cheo asap.

:D:D:D:D:D

hio wazimu sasa ndio huwezi jua!

Reminds me of a fight kwa plot 10 nilikua naishi, mama akaamua kupack na kwenda na watoto wake, the mzee asks her “unaenda wapi na watoto wangu?” Bibi answers; “nani amekwambia ni wako?”. Well, the rest is history.

Don’t be pressurized into marriage, just do it when you know and feel you are ready.

True,wazimu is definitely there,the level and how to deal with it is what will matter,don’t let get to the level of maiming or killing each other though

Na nini zikiganda zitoke kama uji…ama huwa kunaendaje

Sijaoa bado but i made this observation too. Love is just a feeling tied to the level of attraction on a physical level, it works pretty well for short term relationships and flings but in the long term you respect and a shared vision is what keeps people together.

When you look at marriage objectively as an arrangement where you procreate offspring, you grow wealth and you support each other to achieve your life’s ambitions it becomes a lot easier to choose the right woman, love fades but the rest remain.

Unaweza kuzalisha bila kuoa.

EXACLY!!!
Those first feelings are just infatuations, ask any aged man and he will tell you those are just nonsense kama zile za Otile na Manzi yake

OCPD Rono aka @pamba kuja jibu mashtaka.