pick up for sale

peugoet 504 pick up,KWT, 100K NEGOTIABLE,2 plots for sale kilimambogo area 100 by 100,both 1.5 million ,negotiable

@isabella Wapi mbisha za buroti maguta maguta

hakuna picha ,lakini plots ziko na ziko na title

i also have maize germ for sale,@1200 per 60kgs bag

chukua 30k kwa pick up

mdau uko chini sana

Bila mbisha… Ama wacha tu

@Abba njoo ndio hii pickup

Pujo ambilia clawmatsu aka @mabenda4 copy @Kasighau

:D:D:D I’m short 300k to finish with our guy . Hii Peugeot wacha ikae. Imebeba punda ikipeleka machinjoni

mzae ukicheza utakufa bila pick up,chukua hii

General ile pick up natambua in ile Toyota ya before hilux (ya petrol)

lakini hapa juu mapeasants ndio wengi hawawezi fika bei ya hilux

Shida sio pick up, shida ni umekua ikifanya kazi gani kabla iuuzwe. Sitaki laana…

50K ju Nita overhaul engine na kurekebisha suspension

lete 90k,test drive mpaka naivasha ukiwa hujalipa chochote bora uweke mafuta

[ATTACH=full]175176[/ATTACH]

Wacha ufala. What’s funny

That pitch about the possibility of…mortality after a lifetime without a pick-up. :D:DHuyo jamaa ni salesman mnoma.

ni vile inaonekana utakufa kabla ununue pick up ,kama uko na shortfall ya 300k na unaendela na kuzeeka inaonekana utainunua ukiwa a senile demented old goat ama ikushinde ukufe bila.inbox me tafadhali tuongee biashara