PhD Chemist wa TZ asema mbuzi na mapapai zina Corona

:D:D:eek:

https://www.youtube.com/watch?v=TazV_rbzYTY

Cc @fox21

https://www.youtube.com/watch?v=6peoQECp740

This kind of reasoning is what puts Africa into mockery. True bonoboism.
His ADC is breathing down his neck putting him at risk of infection as non is wearing a mask.

Kwani who does the testing?

Kasema hizo machines za kupima zina shida because they tried different samples hadi mapapai some zinaonyesha positive some negative wamepima hadi mbuzi nayo ikakutwa positive

Anasema walipeleka samples without the people at the labs knowing hizo ni vitu gani and the sampels were given peoples names watu wa lab wakajua ni normal samples tu…sasa wakashangaa wanapewa results hadi za mapapai ni positive

This Magufuli guy will be vindicated very soon. Endeleeni kutupa matusi.

ukipata wakati pitia jamii forums uliza rafiki aliye tanzania kama unaye upate hali halisia ya mambo yalivyo

But if it’s true, the testing ain’t effective

Kuna uwezekano ya cross contamineshen katika maabara. He just needs to be careful coz Tanzanians trust him a lot; every word he says is like gospel truth.

Tumesoma juu ya wanyama kadhaa wa porini ambazo zimetest positive kwa hivyo hilo sio jambo la mshangao.

Magafuli knows what his talking about
but he will be gravely punished by TPTB (the powers that be)

Pawpaw je

Yaani wao ndio watu wa kwanza kugundua control experimentation? Haha, haya bas wajinga wa WHO wasiojua kitu wende bongo wafunzwe testing procedures

I think people are missing the point. What he is saying is that they have found out that those test kits being used have been pre-rigged to either be positive or negative regardless of the samples being analysed. He is even challenging people to try it out on other countries for themselves.

Lol. That’s a first. Anasema sample ilitolewa humo ndani sio nje ati tunaweza sema labda mgonjwa alikuwa ameliguza.

If the test samples are pre-rigged then there should be some patients with clinical signs & symptoms of covid testing negative for the disease.

the people calling TZ bonobos are the true bonobos
they believe everything that comes out of a white mans mouth is the gospel truth.

yeah right! Like the world is not really round, america is very small etc

Yes. But another interesting angle. It may also explain why some people test negative then positive again, yet scientists have always known viruses, unless mutated, do not behave like that. I think his challenge should be taken up by others. He may have stumbled on to something.