Nearly 7m people live in here.Largest city in East Africa and 7th in Africa.We call it “Bongo Dsm” meaning you wont live unless you have enough brains.Kuishi Dar Es Salaam ni degree tosha ya maisha huitaji kwenda shule.
My fellow people from republic of Tribalism,dont even think bringing your tribalism in here.
Bongolalas are funny… Dar is the biggest city in east Africa when the administrative area called “Dar es Salaam” is considered… Otherwise the Nairobi metro area has a bigger population and is more developed and with a bigger economic output.
Hata kama ni kufanya dick measuring contests, let’s do so intellectually
Kire (sic) unaambiwa ni kwamba inategemea jinsi ukubwa wa jiji unavyopimwa. Ninavyoerewa ni kwamba nyinyi munahesabu mkoa wote wa dar kuwa jiji (kwa hivyo inamaanisha jiji renyewe na maeneo yanayorizunguka). Sisi tunapopeana ukubwa wa nairobi, huwa tunamaanisha jiji renyewe tu, bila kuesabu maeneo yanayorizunguka – kitengela, athiriver, mlolongo, ngong’, kiserian, ongata rongai, thika, ruiru na kadalika. Maeneo hayo yako ni Nairobi for all purposes and intends, lakini hayaesabiwi kwani hayapo ndani ya county ya nairobi. Sijui kama unaweza kuelewe. Tuki-include maeneo yanayorizunguka (nairobi metropolis) tunafikia mirioni 7 ama 8. Na usi-post maneno hapa kama hutaki kujibiwa.
Don’t bother. Bongolalas do not have the intellectual capacity to understand things.
I saw a similar argument where they were literally taking the ‘size’ of Dar and saying it was bigger. A size that is actually several times bigger than New York.
They measure the size of their city using the boundaries drawn on the map, not the actual reality on the ground.
Only like 10% of that administrative size is built up.
Ndugu najua hayo yote uliyosema.Mm nimesema Dar is the largest city in East Africa and 7th in Africa whether in mkoa or metropolitan that not the facts
Husilazimishe Dar iwe na mfumo kama Nairobi au Nairobi iwe na mfumo kama Dar we are just here talking about largest city that’s all.
Cairo wana consider Gorvenote,Kinshasa wanachukua Province and the list goes on in every city in the world.
Tunaongelea JIJI mana ata Dar hawawezi kuchukua mpk Pwani na kulazimisha iwe metropolitan ila hapa naongelea JIJI lenyewe achana na viunga vyake.
Documents zote duniani zinaiona Dar kama largest city in East Africa