Atakae kula hela za korosho atazitoa kwenye matundu yote ya mwilini
hao wajeda kwa sasa wanaweza kukopa mpaka 20milion na hapo hana cheo chochote
bonge la biti hili
kwangu mimi hili ni biti bora kabisa la mwaka huu huku mtandaoni
duh…
Anatujaza Upepo tu hana Jipya
Duh mkuu, naona hicho chama kinataka kushabihiana na mamlaka ya kwenye Biblia yaani “Kilikuwepo, kipo na kitaendelea kuwepo.” Kweli hiyo ni jeuri ya hali ya juu. Chochote cha kibinadamu kikianza kujikweza kwa hali ya juu, ujue kuteremka kwake kwa kishindo kumewadia. Ni usemi wa wahenga tu mkuu sio wangu.
Weee pimbi nani asiyejua kuwa ni rais! Lakini ni rais mpumbavu!!!
Kweli wee popo!! kama hilo jizi unalolitetea. Majizi yote huwa mapole lakini hili ni mwisho eti linakwapua halafu linamtisha lililomuibia kuwa usiseme ni uchochezi. Nitakushughulikia! Tumepata jizi la ajabu magogoni hadi tukome ambao hatuwezi kulamba buti za lenyewe kama akina gentamycine! Ninakuonya wewe genta siku si nyingi atakugonga nyuma nyamawe
Hiyo ndio kawaida ya dikteta huwa anathamiji jeshi kuliko kitu kingine cz ndio tegemezi lake
Wakimaliza kwetu…
Nimependa comments zenu
Gentamycine bhana taaabu kweli, umefuata nini huku?
POPOMA MAMA YAKO, SIJATUKANA MTU, NIMETOA NINACHOWAZA BILA KUMTUKANA MTU, KWANINI UMENITUKANA.
MAVI WE HUNA HAYA ANGALIA KILA MTU AMEKUZODOA, HILOOOOOOOOOOOOOOOO
Ka baba Ubaya hako!!
Hovyooooo!
Beats by Dre
Badilisheni Na katiba maana mkibanwa mnakimbilia kutunga Sheria mpya
Badilisheni Na katiba maana mkibanwa mnakimbilia kutunga Sheria mpya