@Panyaste kuja uone watu wametoka Ocha hivi majuzi
Lights ka 50 kwa gari
Stickers ka post ya stima githu
Anatandika vitambaa kwa kiti ya gari
Speaker kuuuuuubwa kwa Boot
Peasantry!
[ATTACH=full]238021[/ATTACH][ATTACH=full]238022[/ATTACH][ATTACH=full]238023[/ATTACH]
It definately had to be a thurakus car! Wanajulikana na vilemba! Huyu ni wa kanisa, hajaeka label ya Dakar ama Johny Walker.
Hiyo Gari haiwezi kosa Video Mix ya Samidoh, hiyo speaker haijawekwa hapo bure:D:D:D:D
jmoy
4
It had to be a shubaru!!! Toyota, BMW guys we cant relate
system
5
KCH nine sigiste three ndi
system
6
Hawa Thurakus wana bore sana. Radio stations za thurakus ukihesabu utapata more that 50, same language different stations.
@Makonika uliacha kutandika ngozi ya kondoo kwa dashboard ya ile 5 litre yako?
Idias
9
hizo headrest pillow covers:D:D:D:D:D
Can never be me…
Safisha mecho na upskirt.
[ATTACH=full]238045[/ATTACH]
sikuhizi wanaweka logo ya APPLE bwana
Yes.
Dreads zangu ni internal.
We are known for multitudes in everything. From population, fiashara, radio stations, mburoti, froboks etc
system
16
Hii gari iko na shock nne nyuma ???
amun
19
if you ever find this car missing , try and find out my location first before reporting it stolen :D:D:D:D:D
Hehehe.
I know where to find you, young man.