Peasant proverbs

  1. Money can’t buy everything
  2. A good name is better than riches
  3. We came naked and we die naked
  4. It’s better to be educated and poor than
    be illiterate and rich.
  5. The poor person is of God.
    ****Ongezea zingine

pesa watu hukufa na wana wacha

Hata umiliki dunia nzima utazikwa Kwa kaburi ya futi sita

Siwezi nunua gari na ninalipa rent

God will provide :smiley:

Amepata pesa kidogo sasa anaringa,

Anaringa na gari ya loan

Hehehe

Money is the root of all evil

Ananunua gari na hajajenga kwao

fobe ni fobe yote tutapatana kwa urinal

-Mungu ataleta mvua
-You will receive God’s blessings

Salimia watu, pesa huisha

Anajiita birrionare na analima cassava . Ktalk peasants

Kila mtoto uzaliwa na sahani yake - Sauti Sol

Unaringa na umejenga hio nyumba tukiona.
Unaringa na umenunua hio gari tu juzi tukiona.
And many more along those lines…bana mtu sahio ana wivu ingine noma na ni maskini tih tih tih.
Nkt.

Proverbs ya our bottom homosexual illiterate @PHARMACY

Miti ni dawa

Ukikula maembe pamoja na sturungi hautazeeka

Anaringa na haki kagari kadogo. Si anunue V8 aweze kuturingia. (Yule anasema hivyo hata hana motorbike)

:D:D:D
Amesoma na hata hakuna makazi

Cheza na mimi i scartch my navel

Hehehe