KWA SISI TUISHIO TANZANIA HII FURSA INAKUWA NGUMU KWETU UKIZINGATIA PAYPAL INATOA HUDUMA YA KUTUMA/KULIPA PESA TU NASIO KUTUMIWA/KUPOKEA/KULIPWA KUPITIA PAYPAL…HILI KWA WAKENYA LIKO POA…
[ATTACH=full]183210[/ATTACH][ATTACH=full]183211[/ATTACH]
KWA NAMNA IYO NIMEPATA WAZO LA KUMSHIRIKISHA MKENYA ALIYE NA UJUZI NA MAMBO HAYO YA EBAY NA PAYPAL…
NATAKA KUUZA BIDHAA EBAY NA ILI KUWA TRUSTED NITAILINK NA PAYPAL…
MSAADA HASA NIUTUKAYO NI ACCOUNT TATU
1.EMAIL ACCOUNT WHICH IS VERIFIED IN KENYA(GMAIL/YAHOO)
2.PAYPAL ACCOUNT WHICH IS VERIFIED IN KENYA(LINKED WITH THAT EMAIL)
3.EBAY BUSNESS ACCOUNT WHICH IS VERIFIED IN KENYA(LINKED WITH PAYPAL VERIFIED WITH THAT EMAIL)
BAADA YA KU VERIFY PAYPAL MKENYA ATAFUTA BANK DETAIL ZAKE NAMI SITAWEKA(MANA ITASHTUKIWA NAKUKATALIWA NA SYSTEM) KISHA ATANIPA LOGIN INFO NAMI NITA LOGIN NAKUBADILI PASSWORD…NAMAANISHA NITATUMIA ACCOUNT YA KENYA NINGALI TANZANIA.
SUALA LA KUPOKEA FEDHA MIMI MIMI NITAKUWA NAZITUMIA KUNUNUA BIDHAA NYINGINE ONLINE NAKUIUZA TZ KIKUBWA ACCOUNT YANGU YA PAYPAY IPOKEE MALIPO TOKA EBAY BUYERS…
KWA USHAURI ZAIDI NA NJIA BORA ZAIDI NAKUKARIBISHA IKIWA NI PAMOJA KUSAIDIWA HAYO MAMBO MATATU KWA KADIRI TUTAKAVYO PATANA.
Aiseeh kwani waru wa tz hawajarudi kwao au mnaogopa popo bawa akuje kuwatomba mikundu
GO TO HELL
:D:D:D:D:D:D… wtf!! Is a popo bawa?
hawa wasee wamerada swa ka sele
TZ ni 5th world country, pole kaka.
Shipping will be done to kenya? Your idea is subject to a l0t of conning. Utalilia chooni. NEVER TRUST A KENYAN
NO SHIPPINNG I JUST THIS ONE LINE…
Receive:KENYA CAN Receive funds quickly from anyone with an email address in the 203 countries and regions that accept PayPal.
I WANT TO USE THAT ACCOUNT AS KENYAN NOT AS TANZANIAN
3rd world problems.
:):):) JUST FOR THAT ONE:oops::oops:
It’s not advisable to use an unknown third party to open an account for you. Just get a Kenyan safaricom line and then google a street in Mombasa or Nairobi for your physical address. This will even allow you to link your paypal with safcom MPESA for easy access to your funds.
Get in touch with me, i can be of help.
Kuna paypal bots zitakua zinapiga pressup zikiona vile logs zimeanza kuonyesha tanzanian IP address coinciding with some editing kwa password, bank n card details,zitakuwacha kwa muda alaf ile siku balance yako itajaajaa kidogo pap zikuweke pale kwa Limited account. Kajasho kembamba
HOW CA
N I GET THAT SAFARICOM LINE REGISTERED
DUUU CHANGAMOTO IYO
TIR
TIRIRIKA MKUU
Yeah, If you are in Dar or Arusha just travel to the border point and buy a line, register with MPESA and the rest is easy. Use the safcom line to verify your accounts and you are good to go! Safcom inafanya kazi hata Tz
HAHAHA hizo bots ziukuwa shyett!! lakini hii njia huyu jamaa anataka kutumia ndio itafanya tufanyiwe kaa wao na kina Nigeria
asante sana umenipa wazo jema tangu sasa nitakuwa mkenya ninayeishi tanzania