Part of Karura Forest to be grabbed?

@Mkufuu Kweli kabisa.

Mimi ni mzawa wa bara na Kiswahili nimefunzwa darasani kwa mfumo wa 8:4:4 kama wengine. Nafurahi sana kuona wanakijiji wanaoweza kunikosoa na kunifunza mengi. Asante.

woi chida tupu :D:D