Part of Karura Forest to be grabbed?

Watu wa Checki Maneno hebu confirm. Ikiendelea hivi, by 2030, Karura itakuwa imebaki ka-quarter acre pekee.

https://pbs.twimg.com/media/CRBiXsqUcAA08Kp.jpg

Correction.
Not To be Grabbed Soon.
Tis Already grabbed.

hiyo osungu ya Grand Mullah ni sawa kweli? cc @Web Dev and @gashwin

3 Likes

@Mkufuu na @The.Black.Templar tutahamia wapi? mimi naogopa kuendesha kwa barabara

3 Likes

Was been
[ATTACH=full]17768[/ATTACH]

3 Likes

When you have famous land grabbers in top positions, that’s a no-brainer. Hata Uhuru park itaenda. Nyayo error reloaded.

The thing is, the forest between Dagoretti and Karen is Lenana, not Karura. 2, iyo fore imekuwa ikimangwa since before I was born, most recently wakiexpand barabara. 3, hakuna kitu mbaya kama mwafrika kukata miti alafu kuteta juu ya njaa.

8 Likes

Grand Mullah is an overrated lawyer.

1 Like

I find it funny that a whole senior advocate uncovers massive corruption and chooses to post a tweet rather than lodge a case in court,
#sadnessoflife

6 Likes

na bado,utampata aki represent the grabber in court

he is just the broker in the market, ukileta mbuzi hataki kujua kama ni ya kuibwa…

1 Like

Hapa tutangolewa nywele kama Professor Wangari Maathai tukipagania msitu wetu.

Malenga hapo umenikanganya kiasi…nilifikiri mwitu ni “wild” hali msitu ndio “forest” ama "woods…hebu fafanua tafadhali…cc @xuma …

Hujakosea Kaka. Msitu ni mahali kuliko na miti mingi na vichaka ilhali neno mwitu lina maana sawa na “pori” ingawa nimeona matumizi ya “mwitu” yenye maana sawa na msitu. Wacha tumngoje @xuma. Kwa sasa nafikiri msitu ndilo jina lifaalo.

1 Like

Hebu fafanua neno " tukipagania" @Mkufuu

@gashwin , @Mkufuu ako sawa:
Mwitu (umoja)- Miitu (wingi) humaanisha ‘forest’, ‘woods’
Mwituni humaanisha ‘ndani ya’ au ‘in the forest or in the jungle’
Msitu humaanisha mkusanyiko wa miti mimea ya aina yake. Kwa hivyo Msitu pia ni ‘forest’ ama ‘woods’
Kichaka/vichaka ni what we refer in English as ‘shrubs au bushes’.
Wild ni tofauti kiasi sababu kwa Kiswahili tunasema ‘koko’. Kama vile ‘mbwakoko’ wanaozurura ovyo.(…in the wild).
Pia ‘Wild’ kwa Kiswahili humaanisha ‘Pori’. ‘Wilderness’-‘Porini’ ndiyo maana twasema ‘Wanyama Pori’ yaani, ‘Wild animals’.
NB:Samahani imenibidi nichanganye hizo lugha mbili ili tupate kuelewana moja kwa moja.

2 Likes

Wacha tu tungoje @xuma afike atufafanulie hili jina TUKIPAGANIA.

2 Likes

Natumai @Mkufuu hakudhamiria kuandika ‘tukipagania’ bali ni utelezi wa vidole kwenye vibonyezo vya tarikilishi au simu yake ya rununu. Huenda alimaanisha ‘tukipigania’ yaani ‘to fight over’(juu ya) au ‘to fight on behalf of’(kwa niaba ya).

3 Likes

Xuma ameshawaeleza kikamilifu siongezi lolote lakini asanti kwa kunikosoa.

Nakubaliana nawe ila neno mwitu laweza kumaanisha “wild”. Kwa mfano; nyasi mwitu, paka mwitu au umbwa mwitu.