@PAMBA

Are you the one mentioned in DN pg 25. sometimes i think you are a cop

ni yeye kapisa

Your dreams are valid.

2 Likes

:D:D:D

pamba ni mkubwa regge squad

3 Likes

pamba chunga utachoma posho mill

2 Likes

Elezea hii mahakama ya ktalk kile kilichotendeka siku ambayo inasemekana na huyo jamaa@pamba :slight_smile:

1 Like

hehehh kumbe unamaanishanga recce squad? mi udhani una-diss pamba ati yee ni mtu Reggea Jamaican tunes

3 Likes

Blonde alert.

2 Likes

MATHAAIS WACHA KULEMEA BOY WETU BANA

2 Likes

mi udhani una-diss pamba ati yee ni mtu Reggea Jamaican, wewe hiyo siyo DISS hiyo ni kupongeza yeye, Reggae ni mambo biad manze na usibonge mbaya

1 Like

colombo kua mpole tuko kimoja jaba ikinasa bez lazima tuchane tukiwa juu ya roots and culture… uwesmake askiangi roots; ni mtu ma-Rock

1 Like

hahahaha @uwesmake Rock kwake ni kizungu mkuti (Hatambui) he only knows Isikuti and Ino ni momo

2 Likes

CHIEF ULIJUAJE NAPENDA ROCK?

1 Like

Pamba ni ule alisema ā€˜burnt to recognition’

Hawa ndio wale walitoa Kenya Airways Riddim?

1 Like

Uncle uwes ni mujamaa wa zile ngoma za kiluya uchezwa ukigwara chupa ile ya fanta ya kitambo na ka coin ka kona saba kwa zile kirabu za busaa

NIAJE KUSH