Overlapping will cost you Ksh 30,000

https://pbs.twimg.com/media/FCnpqJOWUAUpxJF?format=jpg&name=medium

Punishment poa yafaa kuwa kitu kama kuosha public toilets, enye itacost mtu heshima zake, wacha pesa, pesa imekua common sana kila mtu ako nazo siku izi, watalipa tu ata mkisema 50k

Askari atakula 3k hiyo story inaisha

Rironi Mau summit iishe haraka upesi, lakini kabla iyo barabara iishe watu takua wameumia sana

Mimi kama professor nitaosha choo bila wasiwasi. Hamna shida.

3k ama mia tano.

mkubwa nirushie alfu tano ninunue Jameson baridi. tupatie Ruto kura

Traitor.

Mia tano kama ni boda boda unaendesha

pesa tunapea wenye washachukua wheelbarrow

Funny thread… D- siwes pitisha mia mbili…just usimpe funguo…license anaweza kaa nayo

Fine ya juala ni 20 M bado tunazibeba ! Kenya is a lawless land bila enforcement hii yote ni BS