Overconfident Luhya man demands Prado from President Ruto

Elders, bangi ni kitu hatari zaidi. Usipochunga, hiyo kitu inaweza kugeuza ukawa mwendawazimu.

Kuna huyu muluya anaitwa Eunice Naisula @poyoloko. Jangili imekuwa ikivuta bangi tangu akuwe keypii mwaka 1946.

Juzi, Mheshimiwa rais Ruto alizuru eneo la Busia kusikiza mahitaji ya hasoras.

Nugu @poyoloko akaanzisha speeches, whilst under the influence of High grade Bungoma Kush.

Needless to say, it was a disaster;

https://www.youtube.com/watch?v=gPt4luuhPOc

As the famous Luhya proverb goes: Bangi sio mrenda.