Our own Mecca here in Kenya

So, uhunye atafungua Mecca ya 254. The only thing itakosa ni ka’aba

[ATTACH=full]84092[/ATTACH]

ka’aba ni nini?? Kwani Two Rivers is a religious center or an economic centre??

asking for freedom fighters walio hapa mashambani

2 Likes

:D:D:D:D:D:D:D:D cheza chini kama haujaelewa the pun

2 Likes

:D:D:D sasawa gathee

Hata Mimi pun ni kama tumepitana njiani…:D:D:D:D

He had to grace the occasion. It’s the biggest mall in East and central Africa anyway

kwani hiyo pun imepitia wapi?

2 Likes

hii mall ina sifa itabidi nitembee huko nijionee

Ni kama imepitia manyanja kuhepa jam. Sijakutana nayo pia

2 Likes

Hii mnyama inaitwa pun sijaiona pia

1 Like