Our KDF in pictures

Leo nashughulikia wale wako na kazi ambayo hatujazoea kuona lakini kwanza kitupa nyuma

[ATTACH=full]41238[/ATTACH]

Ndio nianze na wale wazito walifanya mambo kule Huruma.

.[ATTACH=full]41229[/ATTACH]

Huyo jamaa ana kihara juu ya nywele nyeupe na eti anashikilia cheo cha Meja

[ATTACH=full]41227[/ATTACH]

Hapa wanapewa mafunzo jinsi ya kumtoa binadamu kutoka kwenye kifusi

Hapa nao wakipewa mafunzo na jamaa kutoka USAF pararescue (hawa jamaa naheshimu kabisa kwa ile kazi ya kipekee wanayoifanya). Wabunifu na wajenzi mje mtueleze kama ni sawa kutumia msumeno wa nyororo kuukata simiti

[ATTACH=full]41230[/ATTACH]

Hapa nao tunawaona wale ambao wako kwenye kikosi cha kupambana na vitu vinavyoweza leta madhara wakiwapa wenzao maarifa ya kuzidisha mafunzo

[ATTACH=full]41231[/ATTACH]

Hapa wakifanya maonyesho kidogo

[ATTACH=full]41232[/ATTACH]

Na hapa pia kumuonyesha Uhunye vile huwa kunaenda

[ATTACH=full]41233[/ATTACH]

Hapa nao tunawaona kikosi cha wanamaji wakifanya mazoezi yanayohusiana na kitengo chao kidogo kinachojulikana kama Special Boat Team/Unit

[ATTACH=full]41228[/ATTACH]

Mpiga picha huyu angesoma nyuma kidogo na atumie kifaa cha adobe photoshop kuongeza mvutio kidogo tu…

[ATTACH=full]41235[/ATTACH]

Kipindi hakiwezi kamilika kama hamna ndege kwenye posti

[ATTACH=full]41236[/ATTACH]

Muwe na wiki njema.

23 Likes

Snipers wako wapi ?

2 Likes

Good job !! Hatamimi nitaleta zangu

1 Like

Wiki njema pia

1 Like

Nitawafikia pole pole

2 Likes

Leta mbio. Na haukinijibu kwa hilo post lako

safi Sana, alafu kuna this portable diesel cooker KDF ‘invented’ , could you have more details?

1 Like

Throwback Sunday:

Mahmoud Mohammed, then Airforce Commander, who later rose to become Chief of General Staff

[ATTACH=full]41240[/ATTACH]

https://twitter.com/asmali77/status/734398046092578817

6 Likes

wewe mwenye hajui difference between first officer,student na captain?

2 Likes

2nd pic, that ZETROS is seriously equipped.

1 Like

Wacha nitafute zaidi. Ile ninayo ni summary

sijaona aircraft carrier…

Hiyo badge ya huyo navy man ina maana gani?

2nd pic

Asande sana. Nimekuwa nikitafuta info kuhusu life after 1982 na my usual source amekwama na info. @bjurmann huyu jenerali alikuwa kwenye army before 82 air force ama?

A pointer of things to come. It’s designed to fit inside a C-130

Mboss … Aircraft carrier costs about $4-6 birrion (about half a trillion KES) to build, and about $ 200-400 m per year to run

3 Likes

Hapo bado ninatafuta info

disaster response unit

Are they Engineers?

Kuna thread niliweka ya apache part two. Soma maelezo hapo ndio uelewe ni kwa nini hakuna hizi vitu Kenya