mkubwa pia wewe unatumianga SCAR…respekkk
Nice.
@Jazzman ,Airforce wamekataa kuleta mbisha cus their counterparts world over wako Gen 4++ :D:D:D
SOI… hapo maili saba… we used to beatthis niggers mbaya sana isiolo
Na bila picha ata moja ya airforce,kuna pande moja imefinyiliwa
i find this gif very strange
Alafu huyo fala aliwatengenezea website anaandika imara angani na jamaa amesquat na G3. Upus!!
Wacha tuone vile kutaenda. Walikuwa wameambiwa na Americans kitambo kwamba washughulikie sekta ya transport na air lift ndio wafanye vitu vingine.
Hiyo picha ya huyo jamaa wa G3 iliniudhi hata sikuendelea kutafuta. Alafu wanaandika imara angani. Kwani G3 inawezana na sukhoi ama mig?
Lete hekaya
you and I both… it depicts our tactic to shift positions all the time though.
nilicheki.ata afaa tungesafishwa macho na huey ama ata buffalo zenyewe kama wanafikiria tumechoka na hizi F-5
buffalo hazifly tena. airframe ilimalizanga time kitambo sana na budget yetu haiwes make ka Hercules c-130
Najua,meant ata picha ya zenyewe,bado tungeshukuru badala ya kukaa bila…