one more time....kuna mapepö kwa bet.

sisemi mingi. Meff sana. @1776
@123tokambio @sludgist

[ATTACH=full]168318[/ATTACH][ATTACH=full]168319[/ATTACH]

Alafu angalia wigan[ATTACH=full]168322[/ATTACH]

The house…

we ni regular, mpaka unapewa receipt

Kuna zile betting joints ziko mitaani.

Kwani siku hizi huwa unaenda mutindwa kubet?

Fiksed :D:D

:D:D:D

Jaribu hii strategy utuambie kama itafanya next .

https://www.youtube.com/watch?v=EoK4WeTIWpY:31

:smiley: mbona uende kuBet kwa hizi base ama unawinda clerks huko?