Ona Mboko!! Hesabu screens

Hio ndio maana ya kufika BEI

[MEDIA=facebook]769644816472239[/MEDIA]

https://scontent-frt3-1.xx.fbcdn.net/v/t1.0-0/p403x403/14184486_585621371643083_2560003842913670409_n.jpg?oh=247eab68a42f73dc32bccbe2a3ad9d7d&oe=584526E5

1 Like

March 14, 2006

Umeona video ama ni keherehere tu?

1 Like

Wasee wako kwa hii industry, nganya kama hii hurudisha doe haraka kuliko zile hazijasukwa? @Luther12 unaitwa

i just wasted a few mins of my life…

2 Likes

i honestly don’t get it, hizo screen kwa floor ni za kazi gani?

Hiyo findeo iko na nini? Sina mbandos

Mzae mbona unacomment umavi? umelazimishwa kuona video? Ningeongea mbaya lakini acha nitulie

2 Likes

Mathree ina screens mob

naona hujaongea mbaya yet, mungu akuonekanie…

Route gani?

Screen kwa floor ni ya nini? And why are Kenyans obsessed with Nigerian music.

2 Likes

They have good music.

1 Like

zingine hadi wanaweka playstation

The Chinese are going to Mars, the Americans have sent a probe to another solar system, the Europeans are circling Saturn, the Japanese are exploring Pluto and the Kenyans? Well they are putting video screens on the floors of matatus and boasting about it!

Let’s all take a minute.

No, fungeni macho NATUOMBE!

14 Likes

Am not in the business but I guess mat kama hii ikiwekwa route ya Rongai where along the way kuna students wa Catho, MMU na Nazarene pesa inarudi haraka

Juvenile thread!

4 Likes

@admin

[ATTACH=full]56333[/ATTACH]

Wazee wenzako wako busy wakiokoa maisha ya watu, wewe kazi ni kuangalia watu wakikufa LIVELEAK.

Don Ritchie - Wikipedia

7 Likes

thats where dirty money goes