Inakaa COVID imeharibu uchumi sana
[ATTACH=full]366491[/ATTACH]
Inakaa COVID imeharibu uchumi sana
[ATTACH=full]366491[/ATTACH]
:D:D:D Omari na Bakari wanaona wamewahiii vitu mwenzangu kumbe wameruka mtaro wameangukia kisima !!!
Hizi ni vitu zimeisha threads. Kule kwao Yulop hawazitaki
:D:D:D:D hamna kitu hapo, wanajidanganya tupu.
Kwani miti ni yenu wanatumbukiza?
Money for PS5…
jaribu wewe basi achana na omari na bakari ![]()
Mimi siwezi. Lakini mhogo ni wao.
hio mihogo inakua micherema ![]()
@MISCHIEF utajitetea ukiwa pande gani ya koti?
Wacha nitafte visa bwana.
shimo mbaya ni ya nyoka
…if a beach boy ako na watoto , do the kids know abt dad’s job
This is a very sad picture, no one should “work” this way.
A man got to do what a man got do
Hehe tabia mbovu za kijana bila mwelekeo @Jimit
Niliambiwa uko malindi wakina omari wanatambua white fossils pekee.:D:D