Aparrently he has been sold for 450,000,000 kshs to Chinese top tier club [SIZE=6]Guizhou Zhicheng[/SIZE] ( ako medical ) he has snubbed bids by CSKA moscow , Galatasaray , Real Betis ,Stoke city and other top european clubs what say you ? ame haribu career ama anajijenga ? mi naona kama mbaya mbaya wanipee pesa yangu nitulie Mariga na Oliech wako wapi na hio upusss ya Europe kama Costa mwenyewe alikuwa ameingia box wewe ni nani . na hiyo CSKA moscow mtu anacheza ball aje na kume freeze kila saa na bro za putin hazitaki kuona mwafrika , wengine huko murarandia ya Russia hawajawai ona wala kuskia mwafrika in their life .
@Meria Mata hii channel ya kuonyesha premier league ya China iko wapi ? channel oriji si fake .
Huyo chokora wa ushago usishinde unajisumbua ukimwelezea vitu complicated kama mobdro. Hawa ni wale wakinunua simu mpya wanasumbua mwenye duka awawekee ma apps kama whatsapp
but kama amenunuliwa 4.5 million dollars lazima analipwa pesa serious , wanyama alinunuliwa 11 million pounds so salo yake sidhani imewacha ya olunga na mbali