mbona ume piga @Wakanyama kalamu heshima ni kitu ya maana huu u dikteta wako peleka KLIST hii kijiji tunaeza hama tukuwache ukijiongelesha . si ati tukiingia hapa huwa munatupea nyama choma na ugali ya bure tukule , nnnnnkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkttt .
#BRINGBACKWAKANYAMA na si tafadhali tumekupea by saa moja semeji akuwe amerudi ama u face consequences .
[ATTACH=full]76815[/ATTACH] [ATTACH=full]76816[/ATTACH]
11 Likes
hio kiatu @Okiya ndio anaitambua
5 Likes
Shemeji awe huru.
[ATTACH=full]76829[/ATTACH]
8 Likes
#BRINGBACKWAKANYAMA
Pigstayman
The guy doesn’t contribute anything worthwhile just tribal hate, hongera @old monk akae huko
5 Likes
Si uliambiwa uache kuvalisha momo fyatu fya seng’enge :D:D:D
1 Like
@Wakanyama ARUDISHWE
[ATTACH=full]76839[/ATTACH]
system
January 6, 2017, 11:46am
11
Wakanyama aende.
Pia @uwesmake apigwe equator. Unaweza ita monki monkey aje? mnkttttttttest
#BRINGBACKWAKANYAKS every village has his own mutura man
3 Likes
wakanyama aende… hiyo ghasia ni tribal sana. AAF
HAMAAAAAAA! NA UBEBE DEBUCHY MUENDE NA YEYE…
Chifu
January 6, 2017, 1:16pm
16
Na ile ngìma ya Bendora ilifkuzwa ju ya nini btw?
MBOMB
January 6, 2017, 1:20pm
17
Hizo ultimatum zako ni kama kunyamba ndani ya blanketi halafu unatoa kichwa nje… ati face consequences …Shenji.
1 Like
monkey rudisha semeji ama uone moshi
nitahamaa na followers wangu mia mbili
Turudi .ke kijiji tukakalishe Nyaboke?:D:D:D:D
Huko wakanyaks ako home, so enda mkae naye huko…
1 Like