Office etiquette

Sema tu unafanya housekeeping kwa public area na pantry iko next na choo.
Kazi Ni kazi Bora uzidikishe maisha

Mimi nikiingia kwa ofisi first order of business ni kuigia chooni 10 min na kutake a very nice dump.

Najua unaona wivu lakini sikulaumusikulaumu[ATTACH=full]206390[/ATTACH]

Hizo vidole kwani huwa unatumia kumix concrete

monitor ipi ndio ya kumonitor sufuria ya chai isimwagike?

Umejaribu but the joke is dry… E for Effort

:D:D the Blank One :D:D

ni sukali Linux?

Naona Linux Mint

Na wewe pia uwache ku download torrents kwa wenyewe