foh!
Maze tombawao bado unarep.
Hehehe maze jana ndo nimepatana na kijiji tena
Hapo kabisa
Sante buda,
Cheza chini
kwa hivyo huna habari za mwanzishi wa hicho kijiji cha kitambo?
Hii serikali
Hii serikali ya jubilee haikupeleki mbaya
Shukran kaka
Tukuwe wapole babaa
Fiti boss
[quote=“emali, post:27, topic:75904”]
kwa hivyo huna habari za mwanzishi wa hicho kijiji cha kitambo?
[/QUOTE
Bana apana nijuacho nikua siku moja in 2014 najaribu kuingia klist ikawa ni noma. Minikachorea tu. Habari zipi hizo[/QUOTE]
burrrofcourse!!! ulikua wapi buda?kwa MH340 nini?
Kazi mob babaa, otherwise great to still see you around.