NYIE ENDELEENI NA GYM KUTENGENEZA SIX PACK WAZEE HAWATUMII NGUVU

[ATTACH=full]177068[/ATTACH]

Ha Ha ha ah ,Monies talk

Daaaa hiii kaliiiiiii. Acha chezea wazeeeeee.

Aiseeee

Isee

habr ya malawi

njema mkuu nimerudi kwetu saizi niko huku ileje

karibu ila tumeshakua wakimbizi sasa

Nashangaa wengi mmeniunga mkono kuishi ukimbizini

Mi nimezoea maana Malawi na kuwa kama mkimbizi

Hao wazee hawataki chura…

Bora wazee no stress kuliko hawa viboro dinda…zipu mbovu

Duuuh

Hao wadada unafikiri hawana mipango yao ya kando kwa ajili ya show show??

Ngoja tucheze BIKO

Hapo mkuu akili zao hazipo kwenye mapenzi tena, wanawaza pesa tu wana manage vipi na wafanyaje ziongezeke. Japo itakuwa mara moja moja kubadili ladha kiafy sio mbaya

Ngoja tusake pesa

Ndio ndio isitoshe bado wadogo sana hao,ni ngumu kuvumilia kuguswa juu juu tu,hata mara moja kwa mwaka lazima wakatifuliwe haswa

eeeeeh bibie tumekufanyaje tena mpaka utuone sio

hapo ni pesa zimewakamata…kwa umri wao uhitaji wa ukuni ni mkubwa sana kuliko hao wababu…

Nyalandu naye kibabu!! No