Can one purchase the recently introduced nyeri flight tickets online
?
?
Can one purchase the recently introduced nyeri flight tickets online
?
?
yes, washaweka kale kambao hapo katikati manakaa waane waane., alafu washienzz wanasema flight ya 25 minutes ni direct sijui nikaa itakua inasmama githurai ndio ijae. bure kabisa hii watu.
nilicheka karibu nigaragare lakini maripota nafikiri ndio walijiongezea hiyo or even if governor mutahi used the term they should not have regurgitated.
If theres a direct flight mimi husema I missed ni ile ya Concorde. Heathrow to JFK in 3.5h.
Hii flight slay queen wote watapanda.
Watasimama hapo sagana watu wanunue nduma na ngwaci
pale kwa ndizi nyingi huitwa aje? always stock up there
alafu sasa tunaweza iba ile makaa
cc: @Liberty
Itapita Kagio,juu ya Pure Pishori mixed with pakistan.
Inafaa kusimama hapo Kambiti, abiria wakojoe.
Go fuck a goat
Kwa ndizi kunaitwa Kibingoti…alafu makaa inajiuza pale kambiti…
na Tana bridge kununua tilapia ambao ni common carp
Is it even landing ama watu wanaparachute nje over Nairobi saa zile kanjo hawako area.
Hapana, Nduma na ngwaci watachukua pale Kiangwaci.
Ooo, ukweli
Isimame delmonte ingojee ndege zingine ndio waingie nyeri in a convoy
hehehe
pewa ile unakunywa
Dereva, hang kwa side mirror. Btw ndege ina side mirror?
haha za kuovertake mwewe labda
Itatoboa mlima ya kangocho
Jaribu kuchukua makaa ya mkamba bila kulipa. Ukiweka kwa moto wewe mwenyewe unachomeka!