NYANDARWA LODGING

Huku bado kunakuanga na watu?

Hapana, iligeuzwa ikafanywa zizi la ng’ombe.

Uliza @Kihii Kiaganu haikosi anaijua…anajuanga hizi hotel/bar/brothels zina majina funny funny sana

Wa kucheza chini

Kwani hukuskia news siku hizi ni wanyama mwitu ndio hukuwa