Nyama Una Dislike Most

As for me ni boiled cow or goat heads and feet.

kula cavier, truffles, wagyu na sashimi bila kusumbua..
bonobo jinga sana

Unatarajia tuketi chini ukweli tudiscuss upussu kama huu??? Fuckin bonobo Ndinduste

I love boiled leather, unawekewa na bibi asubuhi unafanya exercise ya mdomo the whole day.

Mithagiro is the sweetest shiet you can eat in this world. Kwanza ukiwa Tei

A very effective foundation when partaking some ethanoic substances…pia thufu yake is a hangie killer.

Ndindu haupendi mithagish?

@PHARMACY anakula boiled pencils Na maembe hatambui nyama

Nyama za M zote
Matumbo
Mutwe
Mathagiro
Mahungu
Mitura
etc

Ni nini hizo in bold?
Mathagiro ndio methagish?

Kichwa na miguu za ngombe ama mbuzi zimechomwa na kukwaruzwa…zikichemshwa huwa tamu sana

Makende je?

Nitazijaribu, but natambua mtura. Kuna base Fulani hapo buru Kuna msee huchoma mtura tamu saidi.

Naogopa mitura nowdays.,…wanasiaga mince meat za umbwa na paka bana…wacha ikae

Masambu ndio nilisema siwezi.

wewe ndio master wa hizo nyama za roadside, kwanini siku hizi huwa hupost

Uzuri ni vitu genuine si za wizi

I don’t like them at all although napenda soup yake especially if it has traditional herbs.

Hapo area ya Ellyson House Buru kulikuwa base Noma Sana ya Mutura some years back. Next door ilikuwa Makuti

Sa Kuna mjamaa anazichoma hapo area ya mesora. Jamaa msafi. Mtura unajipata tu nikuitisha tu. “Ongeza ingine ya mbao” unajipata umekula ya 120