Hahaha jina bomba kabisa
Wasemea kijana mpole au?atakua bado kafungiwa jela ya JF huko
Tungo tata mkuu,Kitumbua cha nani kitamu?
Hahah!! Mkuu unanitafutia ubaya kwa haya unayoyazua sasa
Nimemmiss mpaka basi. SYB naye yuko wapi?
Daaah
SYB nae haonekan tangu tufungiwe our home sweet home
Waambie wantengenezee Magimbi
Aiseeeh
we naona hautaki kuendeleza msingi:D
Wapi numbisa…
Kwani haunioni jirani?
Ngumu sana! Labda unifanyie maombi!