NTV kuna dem anaosha watu macho

[ATTACH=full]304091[/ATTACH]

Ghai! hiyo ni TV kubwa hivyo umebandika kwa ukuta ya single room? Na ujifunze kuattach picha kijana

Wewe dryspell itakumaliza…wtf??

Tifii kubwa na hauna content…

Kwani points zinapewa coz ya ku attach picha

:smiley:

Macho inaoshwa na nini hapo?

Teen republic !!!

You are very bored,nenda kwa duka ununue kiberiti urudi kwa nyumba uhesabi hizo match sticks

Doom inafanya nini kwa meza ya sembe?

Ukuta

ata kama ni single room,the lighting,colors…very depressing

Ametuosha mecho two weeks in a row.

SQNY :D:D:D

wtf @Kimakia amerudi village , kwani ulikuwa prison my fren , long tym no see !

I had taken a break to get over my bad habits.Now am back,never been to Siberia mods respect Kimakia alot.Ofcourse they know what i would do to them if they dared