Not only in China do we create artificial islands

Watu wa ng’ang’u wamefanya mambo bwana[ATTACH=full]403603[/ATTACH]

mombasa huwa ivo pia, huko ndani kwa mangrove forest, bila boat watu wa nyumba kumi hawaezi fika

Only chang’aa I can drink is from Shinyalu kakamega. Hii ingine ni uchafu tu

nilidani jaruo hazikunywagi chang’aa. I thought @Half_Human told us they all hold at least a masters in astrophysics and drink only the finest imported shampain and whiski from yurop

[ATTACH=full]403605[/ATTACH]

Hehehe walichimba mtaro Karibu na lake forming an artificial lake.

Nyangau zili spread polythene on gathered hyacinth, then transported soil with boats for a firm surface, wakekelea hippo grass, then they lived happily ever after

Half human is alishuka kutoka UFO, never trust anything he utters, anaishi Dunia yaka

Y

Nya Ugenya Ni Mwenda kama hiyo, or Mnara from Kisii, made from banana, Ilsa @engiti

:D:D:D Damn, I like that.

Clever

Which tribe is rotting away due to drinking cheap liquors? We all know it.

The same process is used to brew waragi in uganda, which is legal. We should decriminize changaa.

https://www.youtube.com/watch?v=HIWXf8zkLJg

we know who is poisoning us now with mega factories on articifical islands

Hii Hainan Poisson bwana, Hawa Ni wanakemia shupavu

Snitches everywhere. Can’t a man enjoy his drink in peace?!