Walikimbilia wakidhani watakalia the best seats wakaambiwa hizo zina wenyewe na protocol must be observed.Kama vile unatangulia kwa function umekaa halafu watu wengine wakifika unaambiwa upeane space.
Hii ni masarau
Okiya I feel we are always being taken for a ride. Always but I guess we will pull through with this chupilee nonsense
Yap. But CORD isn’t good either.
Kimbelembele kama zile za MaDVD. Mwishowe unabaki bila chochote.
Ababu next.
Noah Wekesa should demand his remaining share of brown envelope and recoil back to mashinani ajaribu kazi ya MP or MCA.
Si ni ukweli alifukuzwa, lakini at least si kama Magerer. But those goons must have been hired by Maina Kamanda.
ababu looks and sounds like a lost child. He needs to up that luhya unity thing, else he’ll be worse than madvd. Lakini ukisema…
Told you sometime back not to be emotional, this is politics,a dirty game all played to serve the master.
I admire your honesty and sarcasm
My problem is I can’t stop being emotional when it come to politics.for me they are the same emotional cum politics :D:D:D