Njogu-ini Bouncer

Sasa nimepandishwa cheo hadi nimekuwa bouncer SAA hii tips nitakuwa chukua vibaya. Kukula ni sufuria mzima.[ATTACH=full]121948[/ATTACH]

6 Likes

Do you know njoguini got closed in mfangano street? Now you know

Tuko hapo annex

:smiley: Kipii ni kipii tu

1 Like

wacha umeffi

what is the name to that green thing in your meal?

In Jongu-ini terms

Avocado

Jinga kabisa…wewe waeza fanya mtu atapike hata matumbo !!!

3 Likes

Kihii naona unataka kunona… Hadi Uko na whey

2 Likes

Kihii yaani unataka uanze kuitwa mzito sasa…natambua hiyo supp anyway.

1 Like

Haha, and you are back.

Sawa @Mosa

Shipoto

mwana mwega no NDA. jenga mwili brasle

you really like that …

Na io combination si utasuprise minyoo zifanye demo