Ile time hauna pesa ya lunch njaa huanza kukusumbua kabla hata umalize kula breakfast bana
4 Likes
hehe…na vile umeweka avatar inakaa kushiba
hapo ni Ile siku uko na kakitu unatesa nyama
1 Like
looks r deceiving…
1 Like
watu hii Nairobi wanavaa suti na shida wako nazo huezi sema ama tule tudem hudunga ni kama wanafanya KCB bank na kumbe anafanya works pale kwa mpesa
2 Likes
Ama saa ile uko pahali hakuna choo ndo unaanza kuharisha…
1 Like
el oh el
:) kuvaa vizuri inaleta confidence
1 Like
so true
Confidence on an empty stomach. Well, thats new…
I believe the context here was “shida”, not to be taken literally as “njaa”.
Mrudi mashambani wazito… huku kwetu njaa ni taboo, tunaisikilia hukooo… sasa acha ni rudi kwa hesabu ya mbuzi.
1 Like
Ukienda Facebook page ya “Buyers Beware” ndio utajua hizo pesa ni za kukopa.
Kula air baga na utulie