Hii weekendi ya end month lazima threshold ipitwe. Nilikosa omulette ya asubuhi lakini ni Sawa. [ATTACH=full]91038[/ATTACH]
4 Likes
Ulisema ukatiwe nyama ya kupelekea paka sio?
12 Likes
Hio rwabe itatosha dish na fare kesho?
Mtu mnono tulia nikukamulie bibi
Kindly take us round the house, lol.
5 Likes
Fare ni 20 pekee
Dymatize… Excellent choice.
1 Like
Hiyo nyama ni ngumu kula labda uguzisheguzishe ugali ukikula na mboga.
1 Like
Kihii you live to eat coz no matter the heading all we get ni sahani ya food ama kikombe ya chai?
2 Likes
Hio pia ulipikiwa na maliar?