NIMERUDI

Nimerudi na nimesoma hio thread yenyu yakutuingilia askari wetu eti wezi. Jamani mwache fitina. Tumewakaribisha TZ na kama mwaleta wezi, basi lazima washikwe. Wivu ndio mnao, makampuni zatoroka huko juu ya tax kubwa na kuja huku. Eti nyinyi supapower. Mnanishangaza kweli. Juzi Juzi nimejitupa kibandani kwa mama John mkenya, Dah!! Chakula ni makarapia la uhai. Jifundisheni kupika kwanza. Jukumu la bwana nikufundisha mkeo walah si usenge.
[ATTACH=full]45391[/ATTACH]
Hii chakula kweli!!
[ATTACH=full]45392[/ATTACH]
[ATTACH=full]45393[/ATTACH]

Kujeni na mabibi zenyu tuwafundishe kupika chakula chenye nyama za minofu na wanga
[ATTACH=full]45394[/ATTACH]
[ATTACH=full]45402[/ATTACH]

6 Likes

Nyûkwa!

9 Likes

Too much cholesterol, yuck! Kenya was athe first with Nyayo buses tukaona hiyo in upuzi. Sasa wacha tutengeneze infrastructure we make it easy For doing business.

1 Like

Shiet!!!
Not u again!!!

@uwesmake fungulia shepart tufukuze hii mutu.

2 Likes

ukona namba ya simu ya ray c?

hahahhahahah…thii ugathicho ni ngoma…

bonoko!!!

9 Likes

Guys, if we can use the ignore button on luomerican, we can use it on this guy.

4 Likes

Bingwa kalalishe makende. Umekuja sasa kuliko mwalimu.

1 Like

Barabara tunazo pia .kukarabati na kuendeleza mtandao wa barabara kuu na barabara za mikoa nchini Tanzania yaendelea

6 Likes

Dar Es Salaam
[ATTACH=full]45404[/ATTACH]

6 Likes

Kenya na Ethiopia wameandikisha kontrakti kabambe sana ya kujenga paipulaini, tena mbili!!! Kamwarifu mugfool ya kwamba, Thu NDIGUAGA HARIA YAIKIO(samahani, hiyo ni Kigiriki bwana!)

9 Likes

[ATTACH=full]45397[/ATTACH] [ATTACH=full]45398[/ATTACH] [ATTACH=full]45399[/ATTACH] [ATTACH=full]45400[/ATTACH] [ATTACH=full]45401[/ATTACH]
i had decided to ignore you for reason(s)
i think this would be a classic example of number last trying to compete with number 1. we feel not threat with tanzanian overhyped growth in anycase we wish you all the best. we clearly have come to understand that your neighbor’s growth does in no way inhibit/reduce your chances in life
i find you petty, full of in explainable jealousy

7 Likes

Haitazuia tembo kunywa maji. Sisi tuna uganda na rwanda pia.

6 Likes

Mukuna, Mukuna! Mtoto huchapwa na slipas bwana! Usitumie nyahunyu kamwe!

3 Likes

ama ukipenda kandarasi

3 Likes

Yeah. I single highway is such a marvel.
Only in land of socialism, almost 30 years after the fall of Berlin Wall.
Wake up Tanzania. Just wake the fcuk up.

5 Likes

Wanionesha gari. GARI!!! mlitengeneza kweli ? hehehe lo!!

6 Likes

Nipo hapa hapa kuwatoa kupe kwa macho. AMKENI!!

5 Likes

ii uku kwetu ni by-pass .

7 Likes