Toka nisome some post za humu ndani nimegundua Watanzania ni Wastaarabu kuliko hawa jamaa Wakenya. Hawa jamaa wana matusi aisee(angalia post zao) na ya waziwazi mtu akimkanyanga anamwambia bwana umenikanyaga sio sisi ile mtu amekukanyaga una mwambia “oh usijali”
Na ustaarabu wetu si ajabu umetugharimu mpaka tumefika hapa ugenini na kuendelea kuwa chini ya CCM.
mkuu wala hata usipate shida maana we si mkimbizi kiuhalisia maana watu tunatumia ista. twitter, fb, na social network nyingine toka nje kwanini tusijiite wakimbizi kwa hayo ila hukuuu? ni maneno tuu mkuu