Unaweza kumsukuma punda hadi mtoni ila si rahisi kumywesha maji kwa lazima
Fafanua kidogo mkuu
Umeeleweka, uhuru popote.
Sijakupata…
Kwa vile umejiunga leo nimekuelewa.
Hii ndio furaha yako , karibu sana mkuu.
umeeleweka mdau
Karibu sana, uko huru tena
Karibu Kambini!
Karibu sana mkuu…
Karibu kenya
Karibu Punda
Jisikie kama nyumbani!! Chama la wana
Ma CCM mengi yanasoma tu humu yanaogopa kweli kucomment…
Na MLAANIWE kwa kuiweka Tanzania kwenye hali mbaya katika kila sekta.
Nimecheka lakini sijui sababu!