Nimefika Kisii Town

Nimepitia Narok, Bomet na sasa niko Kisii town. Huko kwote nimemake stop over na opinion poll inaniambia Cord tuko na kama 44.2%. margin of error ni 3%.

Anyway, safari ya leo imeisha juu nimechoka na ni usiku. So nitalala Kisii town alafu asubuhi na mapema nianze safari.

I normally see watu wakienda out of town wakiitisha number za kudry fry ama club mtu anaweza angukia kimutu. Mimi ni faithful to one woman. lakini nisaidieni na club/restaurants in Kisii town ambayo watu huchapa siasa sana. Nataka kuskiza maoni ya siasa hapa kisii hadi 4am hivi, nilale 1hr alafu nianze second leg.

7 Likes

Kisii kuna underage prostitutes…usijifunge…kwanza sahii vile mwezi iko corner wako cheap sana…matiti saa sita

2 Likes

Ningekupea za Awendo ama migori.
I don’t know why I don’t like sleeping over at kisii town…

sisi ni wakatoliki waumini. sala ni moja tu. rozari. lala unono.

1 Like

Ni juu ya ma-night runner

1 Like

There is a ka street from the police station huwa na clubs kadhaa poa. Nlikua huko some two years ago ivi but been there several times before. One or two clubs are in the same building as Zonic sijui sonic hotel. Lala hio hoteli after partying. Madem huwa working class na as long as sio shinny eyes ama jeng unaeza enda nanyeye kwa room. Ukipata bj you won’t be cheating. :D:D

4 Likes

Ahsante Okiya. You are a very rare breed. Don’t ever think otherwise.

1 Like

kwani unaenda na reverse?kama uko na v8 kama yangu ungekuwa umefika

1 Like

@Guru,ni vile amekaliwo chapo

2 Likes

kama kawa wakisi tuna vote as a block for CORD come the next general elecson …

MEANWHILE KULA MOMO KWA BILL YANGU

@Okiya si ungeniambia nikupee private jet and its already fuelled

Enda Bellavista ama Havanna…

1 Like

wacha vako volkwagon beetle si v8

1 Like

Nyamasaba kule daraja mili market

Kama unataka siasa,enda huko storm hotel on your way to jogoo.Otherwise kula raha town kabisa,Kuna chics wa mtc na kisii uni hot blood for company.Avoid women from Homabay or Oyugis if you want to see 2020.

1 Like

mimi nataka uwe umetahiri ifikapo 2017

Hamna was kihii, also be jigger free by end of 2016,that parasite is draining your wisdom.

2 Likes

Hapo umewekelea jiggers…this nigga suffers from a genetically inherited low IQ syndrome so it’s not the jiggers’ fault.

1 Like

he he he,symdrome?hii ni mpya

Fixed mofo