Nimeanza ku exude parental pheromones

Leo kuna mtoto wa wa neighbour out of nowhere amenikimbilia akanihug kwa magoti. I was taking a stroll back to my place.

Nimefeel poa Sana.
Lakini madem wa huku hawanielewi. Huwa ninaboeka na second attempt at them.
I dont call them twice.
I don’t initiate conversations.
I don’t do small talk.

Niko introvert ka faken.
Whatever shall I do?

@Tauren banae, gani hizi tena

stay talibaan.

Uko karibu kupatikana na slay queen, hizo ni dalili

Na mama yake mnarelate kivipi?

Hata siongei na watu kwa plot. I just come from work and get into my place.

Hehe, children are just innocent little people looking for appreciation, they can’t read your mind. Just humour them and go about your life; only, don’t give anyone’s kid edibles, if you wanna avoid issues with the mothers

Niaje wakandan. Nilidhania umeingia embotut na scones ukapotea. Kumbe upo? Uhali.

Mama yake is laying a trap on you.

Hio ya calling them twice I also struggle…
Do you plan kuingia planteshen?

I have to one way or another. Nature demands it someday. Hata sijui itakuwaje

Worst case scanerio is to marry a single mum…

Have thought of maybe you are gay?

Another problem banae